wizara
التعريفات والمعاني
== Swahili ==
=== Etymology ===
Borrowed from Arabic وِزَارَة (wizāra).
=== Pronunciation ===
=== Noun ===
wizara class IX (plural wizara class X)
ministry (government department)
wizara ya afya ― ministry of health
wizara ya elimu ― ministry of education
wizara ya fedha ― ministry of finance
wizara ya habari, mawasiliano na teknolojia ya habari ― ministry of information, communication and information technology
wizara ya kilimo ― ministry of agriculture
wizara ya maji na umwagliaji ― ministry of water and irrigation
wizara ya mambo ya nje ― ministry of foreign affairs
wizara ya nishati ― ministry of energy
wizara ya nishati na madini ― ministry of energy and minerals
wizara ya sheria ― ministry of justice
wizara ya sheria na katiba ― ministry of justice and constitutional affairs
wizara ya ujenzi ― ministry of works
==== Related terms ====
waziri (“minister”)